Yeremia 23 : 8 Jeremiah chapter 23 verse 8

Swahili English Translation

Yeremia 23:8

lakini, Aishivyo Bwana, aliyewapandisha na kuwaongoza wazao wa nyumba ya Israeli kutoka nchi ya kaskazini, na kutoka nchi zote nilikowafukuza; nao watakaa katika nchi yao wenyewe.
soma Mlango wa 23

Jeremiah 23:8

but, As Yahweh lives, who brought up and who led the seed of the house of Israel out of the north country, and from all the countries where I had driven them. They shall dwell in their own land.