Yeremia 11 : 19 Jeremiah chapter 11 verse 19
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 11:19
Lakini mimi nalikuwa kama mwana-kondoo mpole, achukuliwaye kwenda kuchinjwa; wala sikujua ya kuwa wamefanya mashauri kinyume changu, wakisema, Na tuuharibu mti pamoja na matunda yake, na tumkatilie mbali atoke katika nchi ya walio hai, ili jina lake lisikumbukwe tena.
|
Jeremiah 11:19But I was like a gentle lamb that is led to the slaughter; and I didn't know that they had devised devices against me, [saying], Let us destroy the tree with the fruit of it, and let us cut him off from the land of the living, that his name may be no more remembered. |