Isaya 36 : 11 Isaiah chapter 36 verse 11

Swahili English Translation

Isaya 36:11

Ndipo Eliakimu, mwana wa Hilkia, na Shebna, na Yoa, wakamwambia yule amiri, Tafadhali, sema na watumishi wako kwa lugha ya Kiashuri; maana tunaifahamu; wala usiseme nasi kwa lugha ya Kiyahudi, masikioni mwa watu wote walio ukutani.
soma Mlango wa 36

Isaiah 36:11

Then said Eliakim and Shebna and Joah to Rabshakeh, Please speak, to your servants in the Syrian language; for we understand it: and don't speak to us in the Jews' language, in the ears of the people who are on the wall.