Isaya 15 : 5 Isaiah chapter 15 verse 5

Swahili English Translation

Isaya 15:5

Moyo wangu unamlilia Moabu; wakuu wake wanakimbilia Soari kama ndama wa miaka mitatu; kwa maana wanapanda mbavu za Luhithi wakilia; maana katika njia iendayo hata Horonaimu wanapaliza sauti ya kukata tamaa.
soma Mlango wa 15

Isaiah 15:5

My heart cries out for Moab; her nobles [flee] to Zoar, to Eglath Shelishiyah: for by the ascent of Luhith with weeping they go up; for in the way of Horonaim they raise up a cry of destruction.