Waebrania 9 : 7 Hebrews chapter 9 verse 7

Swahili English Translation

Waebrania 9:7

Lakini katika hema hiyo ya pili kuhani mkuu huingia peke yake, mara moja kila mwaka; wala si pasipo damu, atoayo kwa ajili ya nafsi yake na kwa dhambi za kutokujua za hao watu.
soma Mlango wa 9

Hebrews 9:7

but into the second the high priest alone, once in the year, not without blood, which he offers for himself, and for the errors of the people.