Mwanzo 31 : 33 Genesis chapter 31 verse 33
Swahili | English Translation |
---|---|
Mwanzo 31:33
Labani akaingia katika hema ya Yakobo, na hema ya Lea, na hema ya vijakazi wawili, wala hakuiona. Akatoka katika hema ya Lea, akaingia katika hema ya Raheli.
|
Genesis 31:33Laban went into Jacob's tent, into Leah's tent, and into the tent of the two maid-servants; but he didn't find them. He went out of Leah's tent, and entered into Rachel's tent. |