Mwanzo 31 : 33 Genesis chapter 31 verse 33

Swahili English Translation

Mwanzo 31:33

Labani akaingia katika hema ya Yakobo, na hema ya Lea, na hema ya vijakazi wawili, wala hakuiona. Akatoka katika hema ya Lea, akaingia katika hema ya Raheli.
soma Mlango wa 31

Genesis 31:33

Laban went into Jacob's tent, into Leah's tent, and into the tent of the two maid-servants; but he didn't find them. He went out of Leah's tent, and entered into Rachel's tent.