Ezekieli 9 : 8 Ezekiel chapter 9 verse 8

Swahili English Translation

Ezekieli 9:8

Tena ikawa, walipokuwa wakipiga, nami nikiachwa, nalianguka kifudifudi, nikalia, nikasema, Ee Bwana MUNGU! Utaangamiza mabaki yote ya Israeli, wakati wa kumwaga ghadhabu yako juu ya Yerusalemu?
soma Mlango wa 9

Ezekiel 9:8

It happened, while they were smiting, and I was left, that I fell on my face, and cried, and said, Ah Lord Yahweh! will you destroy all the residue of Israel in your pouring out of your wrath on Jerusalem?