Ezekieli 9 : 2 Ezekiel chapter 9 verse 2

Swahili English Translation

Ezekieli 9:2

Na tazama, watu sita wakaja, wakitokea kwa njia ya lango la juu, lielekealo upande wa kaskazini, kila mmoja ana kitu chake cha kufisha mkononi mwake; na mtu mmoja kati yao amevaa bafta, naye ana kidau cha wino cha mwandishi kiunoni. Wakaingia, wakasimama karibu na madhabahu ya shaba.
soma Mlango wa 9

Ezekiel 9:2

Behold, six men came from the way of the upper gate, which lies toward the north, every man with his slaughter weapon in his hand; and one man in the midst of them clothed in linen, with a writer's inkhorn by his side. They went in, and stood beside the brazen altar.