Ezekieli 20 : 9 Ezekiel chapter 20 verse 9
Swahili | English Translation |
---|---|
Ezekieli 20:9
Lakini nalitenda kwa ajili ya jina langu, ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa, ambao walikaa pamoja nao, ambao machoni pao nalijidhihirisha kwao, kwa kuwatoa katika nchi ya Misri.
|
Ezekiel 20:9But I worked for my name's sake, that it should not be profaned in the sight of the nations, among which they were, in whose sight I made myself known to them, in bringing them forth out of the land of Egypt. |