Ezekieli 16 : 13 Ezekiel chapter 16 verse 13

Swahili English Translation

Ezekieli 16:13

Hivyo ulipambwa kwa dhahabu na fedha; na mavazi yako yalikuwa ya kitani safi, na hariri, na kazi ya taraza; ulikula unga mzuri, na asali, na mafuta; nawe ulikuwa mzuri mno, ukafanikiwa hata kufikilia hali ya kifalme.
soma Mlango wa 16

Ezekiel 16:13

Thus was you decked with gold and silver; and your clothing was of fine linen, and silk, and embroidered work; you ate fine flour, and honey, and oil; and you were exceeding beautiful, and you did prosper to royal estate.