Kutoka 29 : 41 Exodus chapter 29 verse 41
Swahili | English Translation |
---|---|
Kutoka 29:41
Na huyo mwana-kondoo wa pili utamchinja wakati wa jioni, nawe utamfanyia vivyo kama ile sadaka ya unga ya asubuhi, na kama ile sadaka yake ya kinywaji, iwe harufu nzuri, ni dhabihu ya kusongezwa kwa Bwana kwa njia ya moto.
|
Exodus 29:41The other lamb you shall offer at evening, and shall do to it according to the meal-offering of the morning, and according to its drink-offering, for a sweet savor, an offering made by fire to Yahweh. |