Kutoka 29 : 33 Exodus chapter 29 verse 33
Swahili | English Translation |
---|---|
Kutoka 29:33
Nao watakula vile vitu ambavyo upatanisho ulifanywa kwa hivyo, ili kuwaweka kwa kazi takatifu na kuwatakasa; lakini mgeni asivile, maana, ni vitu vitakatifu.
|
Exodus 29:33They shall eat those things with which atonement was made, to consecrate and sanctify them: but a stranger shall not eat of it, because they are holy. |