Esta 8 : 11 Esther chapter 8 verse 11

Swahili English Translation

Esta 8:11

Katika barua hizo mfalme aliwaruhusu Wayahudi wakusanyike katika kila mji na kuzisimamia maisha zao, kuangamiza, na kuua, na kulifisha jeshi lote la watu na la jimbo watakaowaondokea, wao na wadogo wao na wanawake; na kuyachukua mali yao kuwa nyara;
soma Mlango wa 8

Esther 8:11

in which the king granted the Jews who were in every city to gather themselves together, and to stand for their life, to destroy, to kill, and to cause to perish, all the power of the people and province that would assault them, [their] little ones and women, and to take the spoil of them for a prey,