Danieli 9 : 26 Daniel chapter 9 verse 26
Swahili | English Translation |
---|---|
Danieli 9:26
Na baada ya yale majuma sitini na mawili, masihi atakatiliwa mbali, naye atakuwa hana kitu; na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji, na patakatifu; na mwisho wake utakuwa pamoja na gharika, na hata mwisho ule vita vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa.
|
Daniel 9:26After the sixty-two weeks the Anointed One{"Anointed One" can also be translated "Messiah" (same as "Christ").} shall be cut off, and shall have nothing: and the people of the prince who shall come shall destroy the city and the sanctuary; and the end of it shall be with a flood, and even to the end shall be war; desolations are determined. |