Danieli 6 : 12 Daniel chapter 6 verse 12

Swahili English Translation

Danieli 6:12

Ndipo wakakaribia, wakasema mbele ya mfalme katika habari ya ile marufuku ya mfalme; Je! Hukuitia sahihi ile marufuku, ya kwamba kila mtu atakayeomba dua kwa Mungu awaye yote, au kwa mtu awaye yote, katika muda wa siku thelathini, ila kwako, Ee mfalme, atatupwa katika tundu la simba? Mfalme akajibu, akasema, Neno hili ni kweli, kama ilivyo sheria ya Wamedi na Waajemi isiyoweza kubadilika.
soma Mlango wa 6

Daniel 6:12

Then they came near, and spoke before the king concerning the king's interdict: Haven't you signed an interdict, that every man who shall make petition to any god or man within thirty days, save to you, O king, shall be cast into the den of lions? The king answered, The thing is true, according to the law of the Medes and Persians, which doesn't alter.