Danieli 3 : 20 Daniel chapter 3 verse 20
Swahili | English Translation |
---|---|
Danieli 3:20
Kisha akawaamuru baadhi ya watu mashujaa wa jeshi lake kuwafunga Shadraka, na Meshaki, na Abednego, na kuwatupa katika ile tanuru iliyokuwa ikiwaka moto.
|
Daniel 3:20He commanded certain mighty men who were in his army to bind Shadrach, Meshach, and Abednego, [and] to cast them into the burning fiery furnace. |