Danieli 2 : 44 Daniel chapter 2 verse 44

Swahili English Translation

Danieli 2:44

Na katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaangamizwa milele, wala watu wengine hawataachiwa enzi yake; bali utavunja falme hizi zote vipande vipande na kuziharibu, nao utasimama milele na milele.
soma Mlango wa 2

Daniel 2:44

In the days of those kings shall the God of heaven set up a kingdom which shall never be destroyed, nor shall the sovereignty of it be left to another people; but it shall break in pieces and consume all these kingdoms, and it shall stand forever.