2 Samweli 4 : 7 2nd Samuel chapter 4 verse 7

Swahili English Translation

2 Samweli 4:7

Basi walipoingia katika ile nyumba, alipokuwa amelala kitandani mwake, katika chumba chake cha kulala, wakampiga, wakamwua, wakamkata kichwa, wakachukua kichwa chake, wakaenda zao kwa njia ya Araba usiku kucha.
soma Mlango wa 4

2nd Samuel 4:7

Now when they came into the house, as he lay on his bed in his bedchamber, they struck him, and killed him, and beheaded him, and took his head, and went by the way of the Arabah all night.