2 Samweli 4 : 2 2nd Samuel chapter 4 verse 2

Swahili English Translation

2 Samweli 4:2

Na huyo mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili, maakida wa vikosi; jina lake mmoja akiitwa Baana, na jina la wa pili Rekabu wana wa Rimoni, Mbeerothi, wa wana wa Benyamini; (kwa maana Beerothi umehesabiwa kuwa wa Benyamini;
soma Mlango wa 4

2nd Samuel 4:2

[Ish-bosheth], Saul's son, [had] two men who were captains of bands: the name of the one was Baanah, and the name of the other Rechab, the sons of Rimmon the Beerothite, of the children of Benjamin (for Beeroth also is reckoned to Benjamin: