2 Samweli 2 : 23 2nd Samuel chapter 2 verse 23

Swahili English Translation

2 Samweli 2:23

Lakini akakataa kugeuka; kwa hiyo Abneri akampiga tumboni kwa ncha ya nyuma ya mkuki wake, ule mkuki ukamtoka kwa nyuma; naye akaanguka hapo, akafa papo hapo; ikawa, watu wote waliofika hapo, alipoanguka Asaheli na kufa, wakasimama.
soma Mlango wa 2

2nd Samuel 2:23

However he refused to turn aside: therefore Abner with the hinder end of the spear struck him in the body, so that the spear came out behind him; and he fell down there, and died in the same place: and it happened, that as many as came to the place where Asahel fell down and died stood still.