2 Samweli 2 : 10 2nd Samuel chapter 2 verse 10

Swahili English Translation

2 Samweli 2:10

(Huyo Ishboshethi, mwana wa Sauli, umri wake alikuwa amepata miaka arobaini alipoanza kutawala juu ya Israeli, akatawala miaka miwili.) Lakini nyumba ya Yuda waliandamana na Daudi.
soma Mlango wa 2

2nd Samuel 2:10

Ish-bosheth, Saul's son, was forty years old when he began to reign over Israel, and he reigned two years. But the house of Judah followed David.