2 Samweli 18 : 3 2nd Samuel chapter 18 verse 3

Swahili English Translation

2 Samweli 18:3

Lakini watu wakasema, Wewe usitoke nje; kwa maana tukikimbia, hawatatuona sisi kuwa kitu; au tukifa nusu yetu, hawatatuona kuwa kitu; lakini wewe u wa thamani kuliko watu elfu kumi katika sisi; kwa hivyo sasa ni afadhali ukae tayari kutusaidia toka mjini.
soma Mlango wa 18

2nd Samuel 18:3

But the people said, You shall not go forth: for if we flee away, they will not care for us; neither if half of us die, will they care for us: but you are worth ten thousand of us; therefore now it is better that you are ready to help us out of the city.