2 Wafalme 8 : 16 2nd Kings chapter 8 verse 16
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Wafalme 8:16
Katika mwaka wa tano wa Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, [Yehoshafati alipokuwa mfalme wa Yuda], alianza kutawala Yehoramu mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda.
|
2nd Kings 8:16In the fifth year of Joram the son of Ahab king of Israel, Jehoshaphat being then king of Judah, Jehoram the son of Jehoshaphat king of Judah began to reign. |