2 Wafalme 25 : 4 2nd Kings chapter 25 verse 4

Swahili English Translation

2 Wafalme 25:4

Ndipo mahali pakabomolewa katika ukuta wa mji, watu wote wa vita wakakimbia usiku kwa njia ya lango lililokuwa kati ya zile kuta mbili, karibu na bustani ya mfalme; (basi wale Wakaldayo walikuwa wakiuzuia mji pande zote;) mfalme akaenda kwa njia ya Araba.
soma Mlango wa 25

2nd Kings 25:4

Then a breach was made in the city, and all the men of war [fled] by night by the way of the gate between the two walls, which was by the king's garden (now the Chaldeans were against the city round about); and [the king] went by the way of the Arabah.