2 Wafalme 25 : 25 2nd Kings chapter 25 verse 25

Swahili English Translation

2 Wafalme 25:25

Lakini ikawa katika mwezi wa saba Ishmaeli mwana wa Nethania, mwana wa Elishama, mmoja wa wazao wa kifalme, na watu kumi pamoja naye, wakamwendea Gedalia, wakampiga hata akafa, na hao Wayahudi na Wakaldayo waliokuwa pamoja naye huko Mispa.
soma Mlango wa 25

2nd Kings 25:25

But it happened in the seventh month, that Ishmael the son of Nethaniah, the son of Elishama, of the royal seed came, and ten men with him, and struck Gedaliah, so that he died, and the Jews and the Chaldeans that were with him at Mizpah.