2 Wafalme 25 : 22 2nd Kings chapter 25 verse 22

Swahili English Translation

2 Wafalme 25:22

Na kwa habari ya watu waliosalia katika nchi ya Yuda, aliowasaza Nebukadreza, mfalme wa Babeli, akamweka Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani awe liwali juu yao.
soma Mlango wa 25

2nd Kings 25:22

As for the people who were left in the land of Judah, whom Nebuchadnezzar king of Babylon had left, even over them he made Gedaliah the son of Ahikam, the son of Shaphan, governor.