2 Wafalme 25 : 21 2nd Kings chapter 25 verse 21

Swahili English Translation

2 Wafalme 25:21

Naye mfalme wa Babeli akawapiga, na kuwaua huko Ribla katika nchi ya Hamathi. Hivyo Yuda wakachukuliwa utumwani kutoka nchi yao.
soma Mlango wa 25

2nd Kings 25:21

The king of Babylon struck them, and put them to death at Riblah in the land of Hamath. So Judah was carried away captive out of his land.