2 Wafalme 25 : 11 2nd Kings chapter 25 verse 11

Swahili English Translation

2 Wafalme 25:11

Na mabaki ya watu waliosalia katika mji, nao wale walioasi, na kumkimbilia mfalme wa Babeli, na mabaki ya watu wote wengine, watu hao Nebuzaradani, amiri wa askari walinzi, akawachukua mateka.
soma Mlango wa 25

2nd Kings 25:11

The residue of the people who were left in the city, and those who fell away, who fell to the king of Babylon, and the residue of the multitude, did Nebuzaradan the captain of the guard carry away captive.