2 Wafalme 18 : 27 2nd Kings chapter 18 verse 27

Swahili English Translation

2 Wafalme 18:27

Lakini yule amiri akawaambia, Je! Bwana wangu amenituma kwa bwana wako, na kwako wewe, niseme maneno haya? Je! Hakunituma kwa watu hawa walio ukutani, ili wale mavi yao wenyewe na kunywa mkojo wao pamoja nanyi?
soma Mlango wa 18

2nd Kings 18:27

But Rabshakeh said to them, Has my master sent me to your master, and to you, to speak these words? Hasn't he sent me to the men who sit on the wall, to eat their own dung, and to drink their own water with you?