2 Wafalme 18 : 13 2nd Kings chapter 18 verse 13

Swahili English Translation

2 Wafalme 18:13

Ikawa katika mwaka wa kumi na nne wa kumiliki kwake mfalme Hezekia, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, akapanda ili kupigana na miji yote ya Yuda yenye boma, akaitwaa.
soma Mlango wa 18

2nd Kings 18:13

Now in the fourteenth year of king Hezekiah did Sennacherib king of Assyria come up against all the fortified cities of Judah, and took them.