2 Wafalme 18 : 13 2nd Kings chapter 18 verse 13
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Wafalme 18:13
Ikawa katika mwaka wa kumi na nne wa kumiliki kwake mfalme Hezekia, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, akapanda ili kupigana na miji yote ya Yuda yenye boma, akaitwaa.
|
2nd Kings 18:13Now in the fourteenth year of king Hezekiah did Sennacherib king of Assyria come up against all the fortified cities of Judah, and took them. |