2 Wafalme 13 : 6 2nd Kings chapter 13 verse 6

Swahili English Translation

2 Wafalme 13:6

Lakini hawakuyaacha makosa ya nyumba ya Yeroboamu, ambayo kwa hayo aliwakosesha Israeli, lakini wakaendelea katika hayo; nayo ile Ashera ikakaa vivyo katika Samaria).
soma Mlango wa 13

2nd Kings 13:6

Nevertheless they didn't depart from the sins of the house of Jeroboam, with which he made Israel to sin, but walked therein: and there remained the Asherah also in Samaria.)