2 Wafalme 13 : 10 2nd Kings chapter 13 verse 10

Swahili English Translation

2 Wafalme 13:10

Katika mwaka wa thelathini na saba wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yehoashi mwana wa Yehoahazi alianza kutawala juu ya Israeli katika Samaria, akatawala miaka kumi na sita.
soma Mlango wa 13

2nd Kings 13:10

In the thirty-seventh year of Joash king of Judah began Jehoash the son of Jehoahaz to reign over Israel in Samaria, [and reigned] sixteen years.