2 Wakorintho 11 : 12 2nd Corinthians chapter 11 verse 12
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Wakorintho 11:12
Lakini nifanyalo nitalifanya, ili niwapinge hao watafutao nafasi wasipate nafasi; ili kwamba katika neno hilo wajisifialo waonekane kuwa kama sisi.
|
2nd Corinthians 11:12But what I do, that I will do, that I may cut off occasion from them that desire an occasion, that in which they boast, they may be found even as we. |