2 Mambo ya Nyakati 8 : 9 2nd Chronicles chapter 8 verse 9
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Mambo ya Nyakati 8:9
Wala katika wana wa Israeli Sulemani hakuwafanya watumwa kazini mwake; lakini hao walikuwa watu wa vita, na wakuu wa majemadari wake, na maakida wa magari yake na wa wapanda farasi wake.
|
2nd Chronicles 8:9But of the children of Israel did Solomon make no servants for his work; but they were men of war, and chief of his captains, and rulers of his chariots and of his horsemen. |