1 Wathesalonike 4 : 1 1st Thessalonians chapter 4 verse 1

Swahili English Translation

1 Wathesalonike 4:1

Iliyobaki, ndugu, tunakusihini na kuwaonya kwamba mwenende katika Bwana Yesu; kama mlivyopokea kwetu jinsi iwapasavyo kuenenda na kumpendeza Mungu, kama nanyi mnavyoenenda, vivyo hivyo mpate kuzidi sana.
soma Mlango wa 4

1st Thessalonians 4:1

Finally then, brothers, we beg and exhort you in the Lord Jesus, that as you received from us how you ought to walk and to please God, that you abound more and more.