1 Samweli 25 : 4 1st Samuel chapter 25 verse 4

Swahili English Translation

1 Samweli 25:4

Basi Daudi akasikia huko nyikani ya kuwa Nabali alikuwa katika kuwakata manyoya kondoo zake.
soma Mlango wa 25

1st Samuel 25:4

David heard in the wilderness that Nabal was shearing his sheep.