1 Samweli 25 : 31 1st Samuel chapter 25 verse 31

Swahili English Translation

1 Samweli 25:31

hili halitakuwa kwazo, wala chukizo la moyoni kwa bwana wangu, ama ya kuwa umemwaga damu bure, ama ya kuwa bwana wangu amejilipiza kisasi mwenyewe; tena hapo Bwana atakapokuwa amemtendea bwana wangu mema, ndipo umkumbuke mjakazi wako.
soma Mlango wa 25

1st Samuel 25:31

that this shall be no grief to you, nor offense of heart to my lord, either that you have shed blood without cause, or that my lord has avenged himself. When Yahweh shall have dealt well with my lord, then remember your handmaid.