1 Samweli 24 : 3 1st Samuel chapter 24 verse 3
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Samweli 24:3
Akafika penye mazizi ya kondoo kando ya njia, na huko kulikuwa na pango; Sauli akaingia ndani ili kuifunika miguu. Na Daudi na watu wake walikuwa wakikaa mle pangoni ndani sana.
|
1st Samuel 24:3He came to the sheep pens by the way, where was a cave; and Saul went in to cover his feet. Now David and his men were abiding in the innermost parts of the cave. |