1 Samweli 24 : 3 1st Samuel chapter 24 verse 3

Swahili English Translation

1 Samweli 24:3

Akafika penye mazizi ya kondoo kando ya njia, na huko kulikuwa na pango; Sauli akaingia ndani ili kuifunika miguu. Na Daudi na watu wake walikuwa wakikaa mle pangoni ndani sana.
soma Mlango wa 24

1st Samuel 24:3

He came to the sheep pens by the way, where was a cave; and Saul went in to cover his feet. Now David and his men were abiding in the innermost parts of the cave.