1 Samweli 2 : 35 1st Samuel chapter 2 verse 35

Swahili English Translation

1 Samweli 2:35

Nami nitajiinulia kuhani mwaminifu, atakayefanya sawasawa na mambo yote niliyo nayo katika moyo wangu, na katika nia yangu; nami nitamjengea nyumba iliyo imara; naye atakwenda mbele ya masihi wangu milele.
soma Mlango wa 2

1st Samuel 2:35

I will raise me up a faithful priest, that shall do according to that which is in my heart and in my mind: and I will build him a sure house; and he shall walk before my anointed forever.