1 Samweli 14 : 19 1st Samuel chapter 14 verse 19

Swahili English Translation

1 Samweli 14:19

Ikawa Sauli alipokuwa katika kusema na kuhani, hayo makelele katika marago ya Wafilisti yakaendelea na kuzidi; basi Sauli akamwambia kuhani, Rudisha mkono wako.
soma Mlango wa 14

1st Samuel 14:19

It happened, while Saul talked to the priest, that the tumult that was in the camp of the Philistines went on and increased: and Saul said to the priest, Withdraw your hand.