1 Samweli 14 : 14 1st Samuel chapter 14 verse 14

Swahili English Translation

1 Samweli 14:14

Na uuaji huo wa kwanza walioufanya Yonathani na mchukua silaha zake, ulipata kama watu ishirini, katika nafasi kama nusu ya kiwanja kiwezacho kulimwa katika siku nzima.
soma Mlango wa 14

1st Samuel 14:14

That first slaughter, which Jonathan and his armor bearer made, was about twenty men, within as it were half a furrow's length in an acre of land.