1 Wafalme 18 : 29 1st Kings chapter 18 verse 29

Swahili English Translation

1 Wafalme 18:29

Ikawa, wakati wa adhuhuri ulipopita, walitabiri hata wakati wa kutoa dhabihu ya jioni; lakini hapakuwa na sauti, wala aliyejibu, wala aliyeangalia.
soma Mlango wa 18

1st Kings 18:29

It was so, when midday was past, that they prophesied until the time of the offering of the [evening] offering; but there was neither voice, nor any to answer, nor any who regarded.