1 Wafalme 18 : 29 1st Kings chapter 18 verse 29
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Wafalme 18:29
Ikawa, wakati wa adhuhuri ulipopita, walitabiri hata wakati wa kutoa dhabihu ya jioni; lakini hapakuwa na sauti, wala aliyejibu, wala aliyeangalia.
|
1st Kings 18:29It was so, when midday was past, that they prophesied until the time of the offering of the [evening] offering; but there was neither voice, nor any to answer, nor any who regarded. |