1 Mambo ya Nyakati 4 : 41 1st Chronicles chapter 4 verse 41

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 4:41

Na hao walioandikwa majina yao waliingia huko katika siku za Hezekia, mfalme wa Yuda, na kuzipiga hema zao, pamoja na hao Wameuni walioonekana huko, wakawaangamiza kabisa, hata siku hii ya leo, nao wakakaa huko badala yao; kwa sababu huko kulikuwa na malisho kwa kondoo zao.
soma Mlango wa 4

1st Chronicles 4:41

These written by name came in the days of Hezekiah king of Judah, and struck their tents, and the Meunim who were found there, and destroyed them utterly to this day, and lived in their place; because there was pasture there for their flocks.