1 Mambo ya Nyakati 28 : 20 1st Chronicles chapter 28 verse 20

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 28:20

Kisha Daudi akamwambia Sulemani mwanawe, Uwe hodari, mwenye moyo mkuu, ukatende hivyo; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa Bwana, Mungu, Mungu wangu, yu pamoja nawe; yeye hatakupungukia wala kukuacha, hata itakapomalizika kazi yote ya huo utumishi wa nyumba ya Bwana.
soma Mlango wa 28

1st Chronicles 28:20

David said to Solomon his son, Be strong and of good courage, and do it: don't be afraid, nor be dismayed; for Yahweh God, even my God, is with you; he will not fail you, nor forsake you, until all the work for the service of the house of Yahweh is finished.