1 Mambo ya Nyakati 27 : 4 1st Chronicles chapter 27 verse 4

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 27:4

Na juu ya zamu ya mwezi wa pili alikuwa Dodai, Mwahohi, na zamu yake; na Miklothi alikuwa amiri; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.
soma Mlango wa 27

1st Chronicles 27:4

Over the division of the second month was Dodai the Ahohite, and his division; and Mikloth the ruler: and in his division were twenty-four thousand.