1 Mambo ya Nyakati 27 : 15 1st Chronicles chapter 27 verse 15

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 27:15

Akida wa kumi na mbili wa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heledi, Mnetofathi, wa Othnieli; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.
soma Mlango wa 27

1st Chronicles 27:15

The twelfth [captain] for the twelfth month was Heldai the Netophathite, of Othniel: and in his division were twenty-four thousand.