1 Mambo ya Nyakati 27 : 10 1st Chronicles chapter 27 verse 10

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 27:10

Akida wa saba wa mwezi wa saba alikuwa Heksi, Mpeloni, wa wana wa Efraimu; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.
soma Mlango wa 27

1st Chronicles 27:10

The seventh [captain] for the seventh month was Helez the Pelonite, of the children of Ephraim: and in his division were twenty-four thousand.