Deborah Lukalu - Tenda - Call Me Favour Live Medley Lyrics

Tenda - Call Me Favour Live Medley Lyrics

Hakuna hakuna, Hakuna Mungu kama wewe Baba 
Hakuna hakuna, Hakuna Mungu kama wewe Baba 
Hakuna mwingine kimbilio langu 
Hakuna hakuna, Hakuna Mungu kama wewe Baba 
Hakuna mwingine Baba wa wajane 
Hakuna hakuna, Hakuna Mungu kama wewe Baba  
Mungu ni Shefu, wa mataifa yote 
Hakuna hakuna, Hakuna Mungu kama wewe Baba 
Mungu ni shefu (shefu) 
Shefu (wa mataifa yote)

Alitenda mambo makubwa 
Wanadamu hawakuelewa (tenda tenda tenda)
Tenda eh Baba tenda 
Tenda eh Baba tenda 
(Mungu wa uzima) 
Tenda eh Baba tenda 
(Baba wa wajane) 
Tenda eh Baba tenda  
(Iyo yo yo yo oh) 
Tenda tendaa 

Ni wa uwezo ni wa ushindi 
Ni muweza yote kweli ni muumba wetu  
Watoto tunasala (tumepata kwa neema) 
Masomo tunaweza (tumepata kwa neema) 
Diploma uko nayo (ulipata kwa neema) 
Kuimba unaimba (ulipata kwa neema) 

Huyu Mungu wetu (anasema anajibu) 
Ni muweza yote 
Hallelujah ni Muumba wetu 

Wa milele wa milele Mungu wa Baraka ni Yesu 
Wa milele wa milele Mungu wa Baraka ni Yesu 


Tenda - Call Me Favour Live Medley Video

Tenda - Call Me Favour Live Medley Lyrics -  Deborah Lukalu

Deborah Lukalu Songs

Related Songs