Wewe ni Mungu, mpasua bahari
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine .
Wewe ni Mungu, mtuliza mawimbi
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
(rudia toka juu)
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi toa
(rudia)
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine .
Si mwepesi wa hasira
Unaghairi mabaya
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine .
Mungu mwenye wivu
Unatunza maagano
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine .
Katikati ya gadhabu
Unakumbuka rehema
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine .
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
(rudia x4)
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine
Write a review/comment/correct the lyrics of Haufananishwi:
This song is such addressing God Directly I love it.
God bless you 1 year ago
Mzuri 1 year ago
Such an amazing song. I love it. It so much addresses God in such a a big way. Keep it up.
Wooooow
Marvelous glorious worship song truly almighty deserves our voices for worship, praises, testimonies, preachings and above all true repentance.
God bless His true worshippers...
AMEN 1 year ago
Thanks 1 year ago
Nimebarikiwa na wimbo hafananishwi
1 year ago
Kweli hafananishwi na kitu chochote huyu Mungu 1 year ago
Am so much blessed 1 year ago
I am truly blessed. 1 year ago
What a song! Blessings tele tele. 1 year ago
Be blessed.
Natamani siku moja uje kwa mkutano wangu. 1 year ago