Yoshua 5 : 6 Joshua chapter 5 verse 6

Swahili English Translation

Yoshua 5:6

Kwa kuwa wana wa Israeli walitembea muda wa miaka arobaini barani, hata hilo taifa zima, yaani, watu waume waendao vitani, waliotoka Misri, walipokuwa wameangamia; kwa sababu hawakuisikiza sauti ya Bwana; nao ndio Bwana aliowaapia ya kwamba hatawaacha waione hiyo nchi, ambayo Bwana aliwaapia baba zao kwamba atatupa sisi; nchi ijaayo maziwa na asali.
soma Mlango wa 5

Joshua 5:6

For the children of Israel walked forty years in the wilderness, until all the nation, even the men of war who came forth out of Egypt, were consumed, because they didn't listen to the voice of Yahweh: to whom Yahweh swore that he wouldn't let them see the land which Yahweh swore to their fathers that he would give us, a land flowing with milk and honey.